Friday, October 19, 2012


Karikoo kumetulia: Picha zaidi za matukio


Moja ya gari lililowabeba baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzani wakifanya doria

 Hali katika eneo la Karikoo imetulia kwa sasa na baadhi ya shughuli zimeanza kurejea  japo bado baadhi ya raia wana hofu kuhusu mambo yatakavyoendelea.

Kwa ujumla mchana wa leo hali ilikuwa tete baada ya baadhi waislam kujipanga kutaka kuandamana baada ya matangazo katika baadhi ya misikiti baada ya swala ya ijumaa kuwataka waumini hao kufanya hivyo.

Pamoja na Kikosi cha Polisi cha Kuzuia ghasia kujaribu kutumia mabomu ya machozi ililazimu Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na kufanya doria katika baadhi ya mitaa ili kuangalia uwezekano wa kuongeza nguvu.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ wakiwa tayari kwa kaz

No comments:

Post a Comment