SATURDAY, OCTOBER 13, 2012
SIMBA NAO WATANGAZA KIKOSI KITAKACHOANZA DHIDI YA COASTAL UNION - NGASSA NA OKWI NJE
Kocha wa Simba Milovan Cirkovic ametangaza kikosi cha Simba kitakachoanza leo huku majina kama Mrisho Ngassa, Emmanue Okwi na Edo Christopher yakiwa hayamo.
Katika kikosi cha leo kinda Haruni Chanongo amepewa nafasi ya kuanza kwenye safu ya ushambuliaji sambamba na Felix Sunzu na Haruna Moshi.
Kiosi kamili
1: Juma Kaseja
2. Said Chollo
3: Amir Maftah
4: Pascal Ochieng
5: Shomari Kapombe
6: Amri Kiemba
7: Mwinyi Kazimoto
8: Boban
9: Akuffor
10: Felix Sunzu
11: Harun Chanongo
Sub - Mweta, Paul Ngalema, Juma Nyosso, Jonas Mkude, Uhuru Suleiman, Edo Christophe
Katika kikosi cha leo kinda Haruni Chanongo amepewa nafasi ya kuanza kwenye safu ya ushambuliaji sambamba na Felix Sunzu na Haruna Moshi.
Kiosi kamili
1: Juma Kaseja
2. Said Chollo
3: Amir Maftah
4: Pascal Ochieng
5: Shomari Kapombe
6: Amri Kiemba
7: Mwinyi Kazimoto
8: Boban
9: Akuffor
10: Felix Sunzu
11: Harun Chanongo
Sub - Mweta, Paul Ngalema, Juma Nyosso, Jonas Mkude, Uhuru Suleiman, Edo Christophe

No comments:
Post a Comment