Wednesday, October 3, 2012



ADVERTISE HERE..!!


BONGO FLEVA MPYA

ADVERTISEMENT


TOP PHOTOS ZA WIKI

1. UMEKIPENDA

Added by Jerry Popo on September 23, 2012

2. NICE

Added by Chakachua on September 27, 2012

3. 274151_100001435257676_1353842835_s[1]

Added by mayalilwa on September 28, 2012

MEMBERS

BADGE

 

NEWS POSTS

TWFA YATANGAZA KIPINDI CHA PINGAMIZI

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 1:11pmComments 
Release No. 160

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Oktoba 3, 2012
Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira wa Miguu cha Wanawake (TWFA) imetangaza kipindi cha pingamizi kwa waombaji uongozi katika uchaguzi wa chama hicho utakaofanyika mwezi ujao.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Ombeni Zavala, kipindi cha pingamizi ni kuanzia Oktoba 5 hadi 9 mwaka huu, na pingamizi ziwasilishwe ofisi za TWFA. Mwisho wa kupokea pingamizi ni saa 10 kamili jioni, na hakuna ada kwa ajili ya pingamizi.

Pia amesema usaili kwa wagombea utafanyika…

WATANI WA JADI...

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 12:52pmComments 

‘MAISHA PLUS’, ‘MAMA SHUJAA WA CHAKULA’ YAZINDULIWA NA WAZIRI MALIMA

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 11:34amComments 
Waziri Malima akizungumza jambo baada ya kufungua shindano hilo.
Wanawake 12 wa shindano la  ‘Mama Shujaa wa Chakula’ wakifaidi madafu.

Mratibu wa shindano hilo Masoud Kipanya akiongea na wageni waalikwa waliofika kijijini hapo.…

MCHEZO WA MASUMBWI, TAA INAYOZIZIMA – SEHEMU YA SABA

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 11:11amComments 
■UNAPENDWA NA KUOGOPWA NA WATU WENGI DUNIANI
■UKO HATARINI KUPOTEZA ASILI YAKE KABISA
Na Onesmo Ngowi
Masumbwi au kwa majina mwengine ndondi au ngumi na kwa majina ya mitaani ndogwa, mawe n.k. ni mchezo unapoendwa sana na watu wengi. Aidha mchezo huu ni kati ya michezo inayoogopwa sana duniani. Mchezo wa ngumi uko hatarini kupoteza maana yake ya asili yaani kucheza kama burudani, kuwakilisha nchi na kujenga ushupavu wa mchezaji. Mamilioni ya watu wanaojazana kuutazama wasingependa kabisa kujiingiza kuucheza mchezo wa ngumi. Sasa endelea...
            Ni katika miaka ya 40 hadi 70 ambapo mchezo wa ngumi ulivuma sana kwa kutoa mabondia…

MASKINI MAMA DIAMOND

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 10:38amComment 
SOMA HABARI YA MAMA DIAMOND HAPA

PATA HABARI MOTOMOTO ZA MICHEZO HAPA

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 9:19amComments 
SOMA HABARI HIZI KWA KUBOFYA HAPA

AUNT HAKOMI!

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 9:30amComments 
Na Sifael Paul, Dar es Salaam

AUNT hakomi! Pamoja na kupewa onyo kali na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), huku Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) likimjadili yeye na Wema Sepetu kwa kukaa utupu jukwaani, staa wa filamu za…

AMINA MOLLEL AANGUA KILIO

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 9:30amComments 
Imelda Mtema, Dar es Salaam

MTANGAZAJI maarufu Bongo anayepiga mzigo katika Runinga ya TBC 1, Amina Mollel (pichani), ameangua kilio cha furaha katika sherehe yake ya kufundwa maarufu zaidi kwa jina la Kitchen Party, ikiwa ni maandalizi ya ndoa yake.

Tukio hilo limetokea katikati ya wiki iliyopita katika Ukumbi wa Next Door, Tabata jijini Dar es Salaam ambapo ilihudhuriwa na watu wengi maarufu na…

KOLETA AMSHUKIA RICHIE

Posted by GLOBAL on October 3, 2012 at 10:00amComments 
Na Gladness Mallya, Dar es Salaam

MSANII wa filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ ameibuka na kutoa maneno mazito dhidi ya msanii mwenzake Single Mtambalike ‘Richie’, ambaye aliwahi kumshushia kipondo siku za nyuma.

Akizungumza na Tollywood Newz, Koleta alisema Richie anapaswa kujiangalia upya na kuishi kama binadamu anayejitambua badala ya kutumia mabavu na kuwadunda wenzake. Kwa sasa ana msala wa kumpiga mpigapicha wa TBC 1, Moses ....

“Hata jamii sasa naamini itakuwa inajua kwamba Richie ni mtu wa aina gani. Alinipiga mimi bila kosa, akanitoa damu, tukapatanishwa yakaisha, sasa ona juzi amemdunda tena Moses, maisha gani hayo? Richie anahitaji kubadilika,” alisema

No comments:

Post a Comment