0
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

HIZI PICHA NI MAALUM KWA MNAOPENDA KUMFATILIA RIHANNA KAVAA NINI.

Posted: 3rd October 2012 by MillardAyo in News
3
Hii ni juzi wakati mwimbaji Rihanna alipokua anaondoka kwenye hoteli aliyofikia Manhattan New York na kuelekea kwenye nyumbani kwa bibi yake huko Brooklyn na baadae aliporudi hotelini ndio akakutana na mashabiki pamoja na paparazzi wakimsubiri.
Necole ameandika kwenye blog yake kwamba hizi buti za Anaconda alizovaa Rihanna zina thamani ya zaidi ya milioni 3 za kibongo.
.
.

HAYA NDIO MAGAZETI 15 YA LEO TZ, MICHEZO UDAKU NA HARDNEWS.

Posted: 3rd October 2012 by MillardAyo in News
0
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
0
.
Rapper Bow wow ametangazwa kwenye list ya watangazaji wanne wapya wa show ya 106 &Park ya BET ambayo mwanzo ilikua inafanywa na Terrence J na Rocsi.
Bow wow amesema anazoplan za kuendelea na kazi yake ya muziki pamoja na uigizaji lakini kwa sasa nguvu zake anazipeleka kwenye kazi yake mpya kwanza ya 106 & Park ambayo kwa sasa itakua inafanywa na watangazaji wanne ambao ni Detroit Hot 107.5 radio DJ’s Shorty Da Prince and Paigon, mwimbaji Miss Mykie and Bow Wow.
.
.
0
.
.
.
0
.
.
.